Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , , » AVRIL ADAIWA KUJIACHIA KIHASARA HASARA AKIWA BONGO NA KUJIKUTA AKIISHIA KUGAWA PENZI KWA DIAMOND....

AVRIL ADAIWA KUJIACHIA KIHASARA HASARA AKIWA BONGO NA KUJIKUTA AKIISHIA KUGAWA PENZI KWA DIAMOND....

tangazo


 Siku  ya ijumaa mitandao mbalimbali  ya kijamii  iliandika  kuhusu  Diva  wa Kenya ,Avril kwamba  hivi karibuni alipotua  bongo  alijiachia kihasara na  kujikuta akiishia kugawa penzi  kwa msanii  Diamond...
Baada ya  habari hizi kuzagaa kila  kona,Avril  ameamua kuvunja ukimya  na ufunguka  ya moyoni kuhusu  uhusiano wake  na  Diamond......
 avril alipokumbwa na kashfa ya usagaji

"Mimi na  Diamond ni marafiki  tu na  ni  ukweli  uliwazi kuwa  kuna wsichana  wengine  pia  ambao walioneka  katika video  yake  ya  KESHO.....
Sisi  tuliombwa  tu  tumpe  "sapoti"  katika video  yake yake ya  NATAKA  KULEWA na KESHO ambayo  ilifanywa  na  Ogopa DJs......
Sijawahi toka na Diamond  na kwenda Zanzibar kuspend  kama  ambavyo watu wanada.Nashangaa  ni  nani  aliyesambaza huu  uzushi".....Avril

TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger