Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , » BAADA YA "NATAKA KULEWA"....DIAMOND SASA AANZA KUPIKA NGOMA MPYA NDANI YA AM RECORDS

BAADA YA "NATAKA KULEWA"....DIAMOND SASA AANZA KUPIKA NGOMA MPYA NDANI YA AM RECORDS

tangazo


Umepita muda mrefu tangu kuzuka kwa ile scandal kubwa iliyomwandama Diamond na producer wake Manecky ya kudaiwa kuiga idea ya nyimbo za H Baba na Pasha. 

Licha ya kuamua kufanya video ya wimbo huo ulioleta maneno mengi, Nataka Kulewa, Diamond aliamua kuupotezea na kuachia ngoma nyingine iliyotengenezwa na Marco Chali, ‘Kesho’ ambayo video yake iliyofanyika nchini Kenya chini ya Ogopa Djs ikiwa miongoni mwa video kali kabisa zilizotoka hivi karibuni.


Na sasa Diamond na Manecky wamekutana tena kufanya kile wakifanyacho kwa ubora. Kupitia website yake, Diamond ameweka picha akiwa AM Records na Manecky na kuandika:
manecky 2

"Leo tangia nimeamka nilikuwa na Mzuka wa kufanya ngoma…Nikaona sio kesi ngoja nimvutie waya Maneck…

Eeeeh! nasasa hali iko hivi hapa Am Rec. Ni moja ya wimbo wa tofauti sanaaaa.."
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger