Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » DADA WA KAZI AJINYONGA MAENEO YA TABATA DAR ES SALAAM

DADA WA KAZI AJINYONGA MAENEO YA TABATA DAR ES SALAAM

tangazo
Dada wa kazi za nyumbani wa eneo la Tabata Barakuda aliyejiua jana saa moja usiku na bado chanzo hakijulikani
Machela ya kubebea mwili wa marehemui ilifika
Waliuingiza mwili wa mdada huyu mwenzetu na kuondoka nae ambapo blog hii itaendelea kuwajulia taarifa kuhusiana na kile kilichomsibu mdada huyu
Watu wakiuchungulia mwili wa marehemu
Umati wa watu ulikusanyika kujua nini chanzo
Inasemekana kuwa hilo ni tukio la pili kujitokeza katika eneo hilo
Hapa kazi yao ikiendelea ya kuhoji wahusika
Maaskari Polis wa kituo cha Rozana wakichukua maelezo
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger