Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , , » JACK WA CHUZ AIKANA MIMBA YAKE.....

JACK WA CHUZ AIKANA MIMBA YAKE.....

tangazo

MSANII wa sinema za Kibongo Jacqueline Pentzel ‘Jack wa Chuz’ amekanusha habari zinazosambaa mitaani kwamba ana ujauzito.

Habari hizo zilisambaa baada ya kuonekana picha katika Mtandao wa BBM zikimuonesha  msanii huyo akiwa na kitumbo.

Picha hizo ziliingizwa katika mtandao huo na msanii mwenzake Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ ambaye baadaye alithibitisha  kwamba Jack ni mjamzito....

 
 “Kama unavyoniona niko fiti na sina mimba, zile picha tumepiga kwa ajili ya filamu na hakuna kitu kama hicho, wala sitarajii kuwa na mimba kwa siku za hivi karibuni,” alifafanua Jack .

TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger