Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , » LADY JAYDEE AINZA RASMI SAFARI YAKE YA KUUPANDA MLIMA KILIMANJARO

LADY JAYDEE AINZA RASMI SAFARI YAKE YA KUUPANDA MLIMA KILIMANJARO

tangazo

403614_10151070075205025_209269448_n
Muimbaji mkongwe nchini Tanzania, Judith Mbibo aka Lady Jaydee leo anaanza rasmi safari yake ya kupanda Mlima Kilimanjaro.

Akitoa ratiba yake ya leo kupitia website yake, Jide amesema:
Vitu muhimu vilivyoandaliwa kwa safari yakeVitu muhimu vilivyoandaliwa kwa safari yake
jide 3
jide 1

Tunaondokea Marangu Gate saa 3:00 asubuhi.Jumatatu ya tar 7 January 2013.

Mtiririko wa picha zaidi utakuwa unakujia kadri safari itakavyokuwa.Kama kutakuwa na network juu ya mlima. Nita post....


Nifuate twitter kwa matukio live, hatua kwa hatua.Twitter.com/jidejaydee ndio anuani yangu.

Tunamtakia Jide safari njema ya kuupanda Mlima Kilimanjaro.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger