Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , » MENEJA WA KUNDI LA ‘PAH ONE’ AKANUSHA KUSAMBARATIKA KWA KUNDI HILO

MENEJA WA KUNDI LA ‘PAH ONE’ AKANUSHA KUSAMBARATIKA KWA KUNDI HILO

tangazo

WAKATI kukiwa na tetesi kuwa lile kundi la muziki wa bongo fleva Pah One, limevunjika meneja wa kundi hilo amekana ishu hiyo na kudai kuwa kundi bado lipo lakini kikubwa ambacho kilitokea ni kutokuelewana ndipo baadhi ya wasanii walipoamua kusafiri na kubaki wawili na watakaporejea wataendelea kama kawaida.
Kundi hilo linaundwa na vijana wanne ambao ni Nahreel , Ola, Aika na Igwee ambao wamekuwa wakifanya muziki wa tofauti ambao unaweza kuwatambulisha zaidi hata kimataifa.

Hata hivyo meneja huyo alipotakiwa kujitambulisha jina lake alidai huwa hapendi jina lake litokee kwenye vyombo vya habari na kitu anachokifanya yenye ni kuwasaidia vijana.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger