Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , , » MPOKI NA HEMEDY NDANI YA FILAMU YA COMEDY IITWAYO----- 90 MINUTES

MPOKI NA HEMEDY NDANI YA FILAMU YA COMEDY IITWAYO----- 90 MINUTES

tangazo


Muigizaji wa filamu nchini, Hemedy Suleiman aka PHD hivi karibuni ataingia location kushoot filamu mpya iliyopewa jina la 90 Minutes (Dakika 90).Katika filamu hiyo ya comedy, Hemed ataigiza na Mpoki.


“Nimepewa movie inaitwa 90mnts..soccer comedy movie!!…mimi captain team ya mabishoo…mpoki captain team ya wagumu…daaah!!najiona RONALDO,” alitweet PHD.

Akijibu swali  kuhusu wasanii gani wengine wataokuwa kwenye filamu hiyo na lini wataanza kushoot, Hemedy alijibu, “ndio casting inatengenezwa…so far hiyo ndio info najua from the producer..More info will alert you..location February.”
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger