Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , , » NAJMA ADAI KUWA HAJAWAHI GAWA PENZI KWA DIAMOND

NAJMA ADAI KUWA HAJAWAHI GAWA PENZI KWA DIAMOND

tangazo

BAADA ya kudaiwa kuwa msanii Najma ana mahusiano ya kimapenzi na Diamond, sasa mwenywe ameamua kuweka wazi kuwa anamfahamu Diamond kama msanii na mara nyingi wanakutana studio tu na hana muda wa kuzungumza naye ishu nyingine kama watu wanavyozusha.

Najma alifanya mazungumzo ya dakika kadhaa na mwandishi wetu maeneo ya Coco Beach, ndipo alipoweka usawa juu ya ishu hiyo, ambapo alisema kuwa hata ishu iliyokuwa inadaiwa kuwa anataka kumvisha pete ni uzushi.

“Suala la mimi na Diamond kuonana studio na kufanya kazi basi limekuwa ishu mtaani, jamani sina mahusiano na msanii huyo na wala simjui kwa chochote zaidi ya msanii tu,” alisema.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger