Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , » "MIMI NDO MMILIKI HALALI WA WEMA SEPETU ....."MARTIN KADINDA

"MIMI NDO MMILIKI HALALI WA WEMA SEPETU ....."MARTIN KADINDA

tangazo

BAADA ya kuwepo kwa vingi viulizo juu ya Wema Sepetu na mwanamitindo Martin Kadinda kwenda Afrika Kusini wawili tu, modo huyo wa kiume amevunja ukimya na kusema kuwa, haina haja ya kushangaa kwani yeye ndiyo kila kitu kwa msanii huyo.
.
Akizungumza kwa kujiamini hivi karibuni, Kadinda alisema yeye kama meneja wa Wema, ana kila sababu ya kuongozana naye kila anapokwenda kwani ndiye anayemchagulia nguo, viatu hadi ‘setting’ ya nywele.

“Watu wamesemasema sana juu ya safari yangu ya Sauzi na Wema…jamani mimi ni kila kitu kwa Wema kwani ni meneja wake, napaswa kujua kila anachokifanya, hata linapokuja suala la mavazi mimi ndiye ninayemchagulia ‘so’ watu wasihoji sana,” alisema Kadinda.

TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger