Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , , » WEZI WA VIFAA VYA MAGARI WAMLIZA TENA TEMBA....

WEZI WA VIFAA VYA MAGARI WAMLIZA TENA TEMBA....

tangazo


Ikiwa imepita miezi miwili tu tangu wezi waifanyie kitu mbaya gari ya Mheshimiwa Temba aina ya Verossa, kwa mara nyingine tena wezi wameiba vifaa vya gari lake.
Taarifa hiyo imetolewa na leo na Chege kupitia Twitter ambaye ameandika:

Wazee wa power window mtuhurumie!watu hata bila huruma wamemuibia tena vitu vya gari temba,lkn mwisho wa mchezo huu hautokua mzuri ni lawama.

Mwishoni mwa mwaka uliopita watu wasiojulikana waliiba vifaa vya gari lake wakati lilipokuwa limeegeshwa nyumbani kwake.

Vifaa vilivyoibiwa katika tukio la kwanza ni pamoja na power window, side mirror zote taa za nyuma, radio leseni hadi madaftari yake ya shule.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger