Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , , » "MAPENZI YAMENIPOTEZEA MUDA NA KUNIFANYA NUJUTE"....NISHA

"MAPENZI YAMENIPOTEZEA MUDA NA KUNIFANYA NUJUTE"....NISHA

tangazo

STAA wa la filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amefunguka kuwa anajuta kupoteza muda mwingi kwenye mapenzi kuliko kazi mwaka jana.

Akiongea na mwandishi wetu, Nisha alisema amebaini kuwa mwaka 2012 mapenzi yalimfanya ashindwe kutimiza malengo yake mengi kwenye soko la filamu.


“Mwaka jana nilipelekwa puta sana na mapenzi. Mara kigogo, Geofrey na Nay wa Mitego jambo ambalo lilinifanya nishindwe kufanya kazi kwa ufanisi. Mwaka huu sikubali, mwendo wa kazi tu siyo mapenzi,” alisema Nisha.


Aidha, aliongeza kuwa atahakikisha anashirikiana vizuri na wenzake katika kazi zake.

TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger