Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » JAGUAR AKANUSHA KUMSAIDIA KIFEDHA MWANASIASA WA KENYA

JAGUAR AKANUSHA KUMSAIDIA KIFEDHA MWANASIASA WA KENYA

tangazo
 
Msanii kutoka Kenya, Jaguar amekanusha kumsaidia mwanasiasa nchini Kenyakatika kampeni za uchaguzi mkuu. Jaguar ambae amekuwa named as one of theKenyan artists anaepata mkwanja mwingi through his music ukizungumzia track zake kama Kigeugeu na ya sasa Matapeli alisadikika kumsaidia mmoja wa wanasiasa katika uchaguzi mkuu huu ulioisha juzi...

Jaguar ambae pia amekuwa kwenye beef ya chini chini na mwanamuziki mwingine kutoka nchini humo, Prezzo pia aliripotiwa kujitoa kushiriki katika chama cha CORD ikifahamika kuwa ni sababu ya Prezzo ambabe ni kiongozi katika chama hicho.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger