Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » LWAKATARE ASOMEWA MASHITAKA MANNE YA UGAIDI

LWAKATARE ASOMEWA MASHITAKA MANNE YA UGAIDI

tangazo
Wakili wa Lwakatare, Tundu Lisu (kulia) akimuelekeza jambo Mbuge wa Arusha Mjini, Godbless Lema wakati wakijaribu kuandaa mipango ya dhamana.
 Lwakatare akionesha alama ya vidole viwili wakati akipelekwa kizimbani.
 
Wakili Peter Kibatara akiweka mambo sawa kabla ya kuanza kumtetea Lwakatare.




Wanachama na mashabiki wa Chadema wakionesha alama ya vidole viwili kabla ya kesi kuanza.

 
Wakili Nyaronyo Kicheere akimuelekeza jambo Godbless Lema baada ya kesi kuahirishwa, kulia ni Tundu Lisu.


Wanachama wa Chadema wakiwa wametawanyika nje ya mahakama baada ya kesi kumalizika.
  Lwakatare akipelekwa rumande baada ya kunyimwa dhamana.
 
Mke wa Lwakatare akitahayari baada ya mumewe kunyimwa dhamana.

 
Mkuu wa kitengo cha usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Wilfred Lwakatare leo amepandishwa kizimbani katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam na kusomewa mashitaka manne ya ugaidi. 
 
Lwakatare amepandishwa kizimbanai sambamba na kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Ludovick Joseph.  Katika kesi hiyo Lwakatare anatetewa na mawakili watano, Tundu Lisu, Profesa Safari, Nyaronyo Kicheere, Mabere Marando  na Peter Kibatara

TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger