Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » CHANNEL 3 ZA NGONO ZARUHUSIWA KUONESHWA NA MAMLAKA YA MAWASILIANO YA AFRIKA KUSINI

CHANNEL 3 ZA NGONO ZARUHUSIWA KUONESHWA NA MAMLAKA YA MAWASILIANO YA AFRIKA KUSINI

tangazo


Mamlaka ya mawasiliano nchini Afrika Kusini, ICASA, imeiruhusu kampuni ya matangazo ya TV (king’amuziki) ya TopTV kurusha channel tatu za ngono (porn) Playboy TV, Desire TV na Private Spice.



TV hizo zitakuwa zikionekana kuanzia saa 2 usiku hadi saa 11 alfajiri. Watazamaji watakuwa wakitumia namba ya siri kuziona TV hizo.

TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger