Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » JAMAA AFUKUZWA KAZI SIKU YA KWANZA TU BAADA YA "KUTEMA MATUSI" OFISINI

JAMAA AFUKUZWA KAZI SIKU YA KWANZA TU BAADA YA "KUTEMA MATUSI" OFISINI

tangazo

Kuna maeneo ya kazi ambapo utawala una "zero tolerance" kwa aina yoyote ile ya matumizi ya maneno ya kutusi, kukera, kuudhi... yanapotamkwa mbele ya kadamnasi.

Ndivyo ilivyokuwa kwa A. J Clemente, aliyekuwa ndiyo anaanza kazi siku ya kwanza kabisa baada ya kuajiriwa kama mfanyakazi mpya kwa vipindi vya mwisho wa wiki katika chaneli ya KFYRTV ya NBC, Bismark, N.D.


A.J Clemente alitamka maneno "f***ing s**t" bila kufahamu kuwa kamera ilikuwa tayari hewani (LIVE On Air).


Kilichomponza kutamka maneno hayo, ni hasira ya kushindwa kutamka jina la mshindi wa mbio za Marathoni za London,  Tsegaye Kebede. Baada ya kujitahidi kutamka na kurudia na kurudia tena na tena, akajikuta ameshatusi.


Msikilize kwenye sekunde ya 17 katika video iliyopachikwa hapo.


Kila siku twajifunza!

 
 Imeandikwa na Subi---wavuti.com
---------

TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger