Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » WEBSITE YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA YAINGILIWA NA MAHACKER

WEBSITE YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA YAINGILIWA NA MAHACKER

tangazo


Kinachooneka  ni  kwamba baadhi ya   Ma  IT  wa  nchi  yetu  ni  wazembe na  kwamba  wapo  kushibisha  matumbo  yao...!!!

Siku  za  hivi  karibuni  kumekuwa  na  mfululizo  wa  matukio  ya  aibu  ya  kuingiliwa  kwa  mitandao  mikubwa  ya  kiserikali....

Cha kushangaza  ni  kwamba, viongozi  wamefumba  macho....Kazi  yao  kuu  ni  kushughulika  na  kundi  ama  watu  wanaowapinga.....Hii  ni  aibu

TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger