Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » WAARABU WATATU WALIOHUSISHWA NA MLIPUKO WA BOMU KANISANI WAMEACHIWA HURU

WAARABU WATATU WALIOHUSISHWA NA MLIPUKO WA BOMU KANISANI WAMEACHIWA HURU

tangazo
Raia watatu wa UAE waliokuwa wamekamatwa wakikuhusishwa na tukio la mlipuko wa Bomu huko Arusha wameachiwa  huru  na  wamesharejeshwa  nchini  mwao...
Taarifa  zinadai  kwamba, Raia  hao  hawahusiki  na  mlipuko wa bomu  hilo.Kilichotokea  ni  kwamba, siku ya tukio walikuwa  karibu na  eneo la kanisa  na  ndo  maana walikamatwa...
Raia hao  wameachiwa  kwa ushirikiano  mkubwa  wa  ubalozi  wa UAE na Tanzania
Unaweza  kutembelea  hii  link kwa  ripoti  kamili: 
<< Tanzania frees 3 Emiratis held after bombing: Report>>

TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger