WAARABU WATATU WALIOHUSISHWA NA MLIPUKO WA BOMU KANISANI WAMEACHIWA HURU
tangazo
Raia watatu wa UAE waliokuwa wamekamatwa wakikuhusishwa na tukio la mlipuko wa Bomu huko Arusha wameachiwa huru na wamesharejeshwa nchini mwao...
Taarifa zinadai kwamba, Raia hao hawahusiki na mlipuko wa bomu hilo.Kilichotokea ni kwamba, siku ya tukio walikuwa karibu na eneo la kanisa na ndo maana walikamatwa...
Raia hao wameachiwa kwa ushirikiano mkubwa wa ubalozi wa UAE na Tanzania
Unaweza kutembelea hii link kwa ripoti kamili:
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK