Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » MWANA FA AFUNGUKA KUHUSU BIFU LAKE NA LADY JAYDEE

MWANA FA AFUNGUKA KUHUSU BIFU LAKE NA LADY JAYDEE

tangazo

Baada  ya  kutibuana  na  Lady  Jaydee, Mwana  FA  ameamua  kuvunja  ukimya  na  kuwataka  mashabiki  wachukulie  poa  maana  ni hali  ya  kawaida  tu  katika  maisha  ya  kibinadamu.....

Ugomvi  wa  wasanii  hawa  ulianza  baada  ya  Mwana  FA  ku re -tweet  post  moja  ya shabiki  wake  ambayo  ilikuwa  ikiiponda  show  ya  Lady  Jaydee...

Lady  jaydee  alijaribu  kumuonya  mara  kadhaa  lakini  FA  hakusikia  na  badala  yake  aliretweet  post  ya  shabiki  mwingine  ikimponda  Lady  Jaydee....

Uvumilivu  ulimshinda  Lady Jaydee  na  kuamua  kujibu  mashambulizi  kwa  kumuita  Mwana Fatuma  na   na  mengine  mengi.....

Wasikilize  hapo  chini wakifunguka

TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger