Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , » OMMY DIMPOZ AAMUA KUOMBA RADHI TENA...ADAI YEYE NI BINADAMU, HAJAKAMILIKA NA AMEJIFUNZA

OMMY DIMPOZ AAMUA KUOMBA RADHI TENA...ADAI YEYE NI BINADAMU, HAJAKAMILIKA NA AMEJIFUNZA

tangazo

Ommy Dimpoz  kwa  mara  nyingine  ameamua  kupaaza  sauti  yake  na  kuwaomba  watanzania  wamsamehe  kwa  kauli  zake  mbaya  kuhusu  marehemu  Ngwea....

Sambamba  na  msamaha  huo,Ommy  anadai  kuwa  amejifunza  kutokana  na  kosa  lake  na  kwamba  hatarudia  tena...

Uamuzi  wa kuomba  msamaha  kwa  mara  ya  pili  umekuja  baada  ya  msanii  huyu  kupigwa  mawe  mjini  Dodoma  hivi   juzi

Hii  ni  kauli  yake  kupitia  ukurasa  wake  wa  facebook:
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger