OMMY DIMPOZ APIGWA CHUPA NA MASHABIKI AKIWA JUKWAANI HUKO DODOMA
tangazo
Kuna
tetesi kuwa Ommy dimpoz amepigwa mawe jukwaaani dodoma na
kushindwa kufanya show ya kilimanjaro music award dodoma.
Wadau toka Dodoma
wasema msanii yoyote atakaye mdiss msanii wa dodoma hawatamruhusu kufanya show Dodoma na watamshusha jukwaani kama walivyo fanya leo kwa Ommy
Tunafuatilia undani wa habari hii
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK