tangazo
Mbunge wa Dodoma mjini Mh
Dr David Mallole, alipoenda kuwatembelea wahanga wa mlipuko wa Petrol
katika hospital ya mkoa wa Dodoma,General Hospital na kutoa pole kwa
wagonjwa waliopatwa na janga hilo kwa kuwapatia pole pamoja na msaada wa
pesa ya dawa kwa kila mmoja

Mtoto huyu ni mwanafunzi wa kidato cha tatu Shabani p. Shaban .Alikutana na janga hili baada ya kwenda kwa fundi kuchukua nguo zake za
shule ambapo ni eneo jirani na mlipuko huo ulipotokea. Mh Mbunge David Mallole ameahidi kumlipia ada yake ya shule:






Credit: Bossngasa blog


