Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » MSHIRIKI WA TANZANIA ( NANDO ) AAMBUKIZWA MAGONJWA YA ZINAA BAADA YA KUFANYA MAPENZI NA MGHANA KATIKA JUMBA LA BIG BROTHER

MSHIRIKI WA TANZANIA ( NANDO ) AAMBUKIZWA MAGONJWA YA ZINAA BAADA YA KUFANYA MAPENZI NA MGHANA KATIKA JUMBA LA BIG BROTHER



 Akiongea  kwa  uchungu  na  huzuni  mbele  ya  Bimp,Nando ambaye  ni Mshiriki wa Tanzania  amemlaani  mshiriki wa  Ghana  kwa  kumwambukiza  GONJWA LA  ZINAA...

Nando  amelinyaka  gonjwa  la  zinaa  maarufu  kwa  jina  la  "Chlamydia"  na  hivi  sasa  yuko  katika  dozi.Gonjwa  hilo  amelinasa  baada  ya  kungonoka  na  SELLY   bila  KONDOMU.....  

Kwa  nini  Nando  hakutumia  Kondomu?

Akiongea  na  Bimp ambaye  ni  mshiriki   toka  Ethipia, Nando  amekaririwa  akidai  kuwa Selly  aligoma  kutumia  kondomu.


Kwa  kuwa  alikuwa  na  HAMU  na  tayari  stimu  zilikuwa  juu , Nando  anadai  kuwa  hakuwa  na  jinsi  zaidi  ya  kulikamua   TUNDA    bila  kulimenya....

Namkariri:
"You know I hate that bi*ch !
I'm f*cking frustrated cos that bi*ch *Selly* gave me STD! That's why my blood pressure was high yesterday!"


Pole Nando, kama  kauli  yako  ni  ya  kweli, nenda  kapime  na  ngoma.


tangazo
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger