Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » BBC WAOMBA RADHI KWA KUZIANIKA NYETI ZA PRINCE WILLIAM WA UINGEREZA

BBC WAOMBA RADHI KWA KUZIANIKA NYETI ZA PRINCE WILLIAM WA UINGEREZA

tangazo

Shirika la habari la Uingereza BBC limeomba radhi kwa kile wanachodai kuwa walionesha kwa bahati mbaya video yenye picha ya Prince William wa Uingereza ikiwa imechorwa nyeti za mwanaume katika uso wake.


Inadaiwa kuwa siku ya Alhamisi asubuhi (August 1) kituo cha TV cha BBC kilirusha video ya wimbo “I Could Have Married Kate” ya kikundi cha muziki cha Comedy kiitwacho ‘Barbershopera’ bila wao kugundua katika video hiyo kuna picha inayomdhalilisha Prince William iliyochorwa nyeti za mwanaume katika uso wake.

Watazamaji ndio waligundua picha hiyo na kuanza kutweet kuhusiana na walichokiona.



Baadae BBC waliomba radhi kwa kusema ‘Barbershopera’ waliwaletea video hiyo na kwa bahati mbaya maproducer wao hawakugundua kasoro hizo mapema.


“the material was provided by Barbershopera but we failed to spot the offending material within it. We apologize for this.” BBC waliomba radhi mchana wa siku hiyo.
 
Tazama video hiyo

 Bongo5
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger