Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » Bibi kizee mchawi adondoka wakati akiwanga saa mbili usiku

Bibi kizee mchawi adondoka wakati akiwanga saa mbili usiku

tangazo
 
Watu wakimshangaa bibi aliyedaiwa kuwa mchawi. Ni aliyekaaa katikati.

...Akipewa chakula, wali na maharage kutoka kwa wasamaria wema.

  Akiwa kapakatia sahani la wali aliopewa.
Watu waliokusanyika kumshangaa.
 
BIBI mmoja ambaye hakuweza kupatikana jina lake mara moja, jana majira ya saa mbili usiku maeneo ya Chanika, jijini Dar es Salaam alidaiwa kuanguka wakati akiwa katika harakati za kuwanga ambapo wakazi wa hapo walimkamata na kuanza kumhoji kwa maswali mbalimbali kama anavyoonekana pichani.


PICHA: - GPL
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger