Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » "NAPENDA KUNYONYA ( I LOVE SU**KING )"...HUDDAH

"NAPENDA KUNYONYA ( I LOVE SU**KING )"...HUDDAH

tangazo

Wengi tumeshajua Huddah Manroe   ni  nani (hasa kwa wale mnaofuatilia mitandao ya kijamii) she is a star, na  kila linapotokea tukio la kumhusu mara nyingi huwa linazua gumzo.


Huddah kupitia akaunti yake ya twitter amepost video yenye heading ‘Huddah loves su**king things’, na katika video hiyo mtoto huyo mzuri na aliyekuwa mshiriki wa Kenya katika The Chase anaonekana anailamba lollipop (kimtego sana) na kurudia mara nyingi kuwa anapenda kunyonya vitu.


Akiwa mbele ya kamera Huddah kaanza kwa kucheka kisha akajitambulisha na kusema anapenda kunyonya vitu kama hiyo lollipop aliyoishika….


TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger