Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » Ujumbe muhimu kwa wanaouza makalio yao mitandaoni.....

Ujumbe muhimu kwa wanaouza makalio yao mitandaoni.....

tangazo

Unapiga Picha unaandika maneno mazuri tu na kupost Facebook ama Instragram ,''Asante Mungu kwa siku hii ya Jumatatu,AMEN''...


Cha  kushangaza  ni  kwamba  picha yenyewe umepiga makalio yako  na  umeyageuzia kwa   watazamaji.Kwani kuna uhusiano gani wa Makalio yako na siku ya Jumatatu???

Au unamaanisha yana shape ya Jumatatu?Halafu wengine basi tu mnapenda kuweka lakini wala shape zenyewe sio kiivyo,sio kwa sababu yule kaweka basi na wewe unatuwekea mkusanyiko wako wa viazi vitamu na kaukau,unajishushia heshima....
 
Sio kila kitu ni cha kuiga,Huo  ni  ushamba  na  hamjui tu tunawatafsirije huku mtaani...

Butt**cks FOR SALE japo hamjaweka kibao!
ASANTENI
--------------------------
Seth De Jesus Giovanni

TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger