Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » Kizazi cha leo kinatisha: Wanafunzi wajipiga picha CHAFU wakiwa darasani

Kizazi cha leo kinatisha: Wanafunzi wajipiga picha CHAFU wakiwa darasani

tangazo

Jitihada  za  SHETANI  kukiangamiza  kikazi  hiki  zimekuwa  zikishika  kasi  kila  kukicha....

Matukio mengi  ambayo  ni  vigumu  sana  kuyaamini  kwa  macho   tumekuwa  tukiyashuhudia  kwa  baba  zetu  na  watoto  zetu  kupitia  skendo  za  kufumaniana  na  picha  chafu  za  nusu  utupu.....

Miaka  ya  leo  imekuwa  ni  kawaida  sana  kwa  mtoto  kumshuhudia  baba  yake  au  mama  yake  akiwa  uchi  baada  ya  KUFUMANIWA  au   mzazi  kumshudia  mwanae  akiwa  MTUPU  huku  Viuongo  nyeti  VIKIWA  Hadharani....

Ili  kuyathibitisha  maelezo  yangu, naambatanisha  hapo  chini  picha  ya  wanafunzi  wa  bweni  ambao  kwa  akili  yao  iliyotekwa  na  IBILISI  wameamua  kujipiga  wakiwa  nusu  uchi  ndani  ya  darasa  lao  huku  wakijua  wazi  kwamba  kufanya  hivyo  ni  sawa  na  kuwadhalilisha  wazazi  wao...


Bofya  hapo  juu  ujionee  picha  hiyo  na  kisha  ungana  nami  katika  sanduku  la  maoni  hapo  chini..... 
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger