Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » Je, upo Single? unatafuta mwanamke mwenye bikra?.. Kama jibu ni ndio, basi kutana na huyu binti anayeiuza bikra yake kwa milioni 43

Je, upo Single? unatafuta mwanamke mwenye bikra?.. Kama jibu ni ndio, basi kutana na huyu binti anayeiuza bikra yake kwa milioni 43

tangazo

Upo single? Una shilingi milioni 43 za kuchezea? Basi mrembo huyu wa Urusi  aitwaye Shatuniha, anakupa fursa ya kulimenya ganda lake vyovyote utakavyo kwa mkwanja huo.
article-2483831-1922C4FD00000578-135_634x419
Binti huyo amepanga mwanaume atakayefika dau wakutane katika hoteli ya mji wa Krasnoyarsk nchini humo.
 
Mapendekezo yake kwenye mkutano na waandishi wa habari ndani ya  hoteli hiyo ni  kwamba  yeye  anataka kulipwa  pesa  hizo  kabla ya kulala na mtu na  atakuja  na  nyaraka zote za kuthibitisha ubikira wake...

Mbali  na  hilo, binti  huyo  amesema  kuwa  ataingia  hotelini  hapo akiwa  na mtu ambaye atachukua hela na kuondoka ili asiingizwe mjini. Mtu huyu ataondoka na hela lakini yeye  atabaki.
Polisi nchini Urusi wamesema hawatafanya uchunguzi wa tukio kwa sababu yeye na wanunuzi hawajavunja sheria za nchi.
 
"Nipo katika harakati za kutafuta fedha ya haraka, hivyo mimi nimeamua kuweka bikira kwenye soko kwa bei kubwa ili wateja wa ngono waweze kupata kitu kipya kabisa katika starehe ya kustareheshana," amesema binti huyo kupitia tovuti hiyo  na  kuongeza:

"Nipo tayari kukutana na mamlaka zote kama zinataka ufafanuzi zaidi. Nimeamua  kuweka biashara hii muhimu kwenye tovuti ili wateja wafanye tathimini".
 
article-2483831-1922C4B000000578-206_634x402
Screen shot ya mtandao aliotangaza bidhaa kunadi Ubikira wake.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger