Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , , » T.I.D AMFANANISHA ALLY KIBA NA "MTU AMBAYE NI SHOGA"

T.I.D AMFANANISHA ALLY KIBA NA "MTU AMBAYE NI SHOGA"

tangazo

Khalid Mohamed aka TID mara nyingi amekuwa akitumia mitandao ya kijamii kueleza hisia zake hasa kuhusiana na muziki.


Leo kupitia Facebook TID amekumbushia lile sakata la kudaiwa kupanga njama za kumuua mwanamuziki mwenzake, Ali Kiba na kumuuita ‘shoga’ yule aliyemzushia hivyo.

“Stupid Thing Ever Happened in Bongo Music Scene is this Homo mentioned me Trying to Kill Him while am only thinkin about this Girl…No Homo,let’s make Hits,” ameandika.

Aliongeza, “Can’t forgive weak people the whole family came into my house as if I ever had any arguments before nau wat……nobody kill them.”

>>>Aliyeitwa shoga  ni  Ally  kiba.....Rejea  hii  sentensi:-

"Stupid Thing Ever Happened in Bongo Music Scene is this Homo mentioned me Trying to Kill Him  "
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger