Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , » DULLY SYKES AOMBA RADHI MASHABIKI WAKE KUFUATIA TUHUMA ZA KULAWITI MTOTO ZINAZOMKABILI BAUNSA WAKE

DULLY SYKES AOMBA RADHI MASHABIKI WAKE KUFUATIA TUHUMA ZA KULAWITI MTOTO ZINAZOMKABILI BAUNSA WAKE

tangazo

BAADA ya tuhuma chafu zinazomkabili baunsa wa msanii Dully Sykes , anayefahamika kama Arafat Ngumi Jiwe, za kumlawiti mtoto, sasa msanii huyo ameamua kuwambia mashabiki wake kuwa amesitishwa na ishu hiyo kwani alikuwa hajui kama jamaa ana tabia hiyo chafu hivyo anawasihi watanzania wote kujua kwamba hajui lolote juu ya hilo na kwa sasa hawezi kuendelea kufanya naye kazi ili kujitoa kwenye ishu hiyo chafu.

 

Tuhuma za baunsa huyo kumlawiti mtoto zinaweza kuwa na picha mbaya kwa msanii huyo kwani watu wamemfahamu bausa huyo kupitia Dully, hivi sasa anatafuta mtu mwingine ambaye anaweza kuchukua nafasi hiyo.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger