Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , » DAR ES SALAAM WATAHADHARISHWA KHUSU WEZI KWA NJIA YA MTANDAO

DAR ES SALAAM WATAHADHARISHWA KHUSU WEZI KWA NJIA YA MTANDAO

tangazo


Jeshi la polisi mkoa wa Kipolisi Kinondoni limewatahadharisha wakazi wa jiji la Dar es Salaam kuwa makini na watu ambao ni matapeli Kutokana na kuibuka kwa mbinu mpya ya wizi wa fedha kupitia njia ya mitandao ya simu pamoja na mashine maalum za kutolea fedha Benki ATM.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger