Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » HALI ILIVYOKUWA WAKATI WA VURUGU MKOANI MTWARA JANA

HALI ILIVYOKUWA WAKATI WA VURUGU MKOANI MTWARA JANA

tangazo
Moja ya nyumba ikiteketea wakati wa vurugu mkoani Mtwara ambapo magari 18, pikipiki 7 viliteketezwa kwa moto  vyote vikiwa ni mali za halmashauri ya Masasi na baadhi ni vya watumishi wa halmashauri hiyo.
Gari la wagonjwa likiteketea kwa moto.
Sehemu ya magari yakiendelea kuteketea kwa moto.
Jengo la Mahakama lililochomwa moto.
Chumba cha Jenereta kilichochomwa moto.
Nyumba inayosemekani ni nyumba ya waziri ikiwa imeharibiwa vibaya.
Nyumba inayosemekana ni ya Mwenyekiti wa CCM baada ya kuharibiwa.
Hivyo ndivyo hali ilivyokuwa wakati wa vurugu hizo.
(Picha Zote na Siraji Nalikame)
----
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger