Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » HII NDO VIDEO YA OFISA WA TRA ARUSHA ALIYENASWA AKICHUKUA RUSHWA WAZIWAZI....

HII NDO VIDEO YA OFISA WA TRA ARUSHA ALIYENASWA AKICHUKUA RUSHWA WAZIWAZI....

tangazo

Video hii imerekodiwa kutoka kwenye simu ya mkononi na inamuonyesha Ofisa wa TRA Arusha akipokea rushwa toka kwa mteja ili aweze kumhudumia. 

Ofisa huyu yupo mapokezi (reception) na inadaiwa ni kawaida yake kupokea Rushwa na kuwa usipompa anadai kwa nguvu.

Wafanyakazi wa TRA na wakubwa zake inadaiwa wanajua kinachoendelea lakini hawachukui hatua.

Kuna utendaji mbovu, lugha chafu kwa wateja na za majivuno na mambo mengi yanayofanana na hayo.

Mamlaka husika zinaombwa kuingilia kati TRA Mapato, (karibu na Benki Kuu tawi la Arusha) ili raia wapate huduma bila vikwazo vya rushwa toka kwa maofisa kama huyu.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger