Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , » SHAKIRA AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME....

SHAKIRA AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME....

tangazo


Nyota wa Pop wa nchini Colombia, Shakira amejifungua mtoto wa kiume jana mjini Barcelona, Hispania.Shakira ametoa taarifa hizo kupitia website yake ambayo iliandikwa kwa Kiingereza, Spanish na Catalán:


“We are happy to announce the birth of Milan Piqué Mebarak, son of Shakira Mebarak and Gerard Piqué, born January 22nd at 9:36pm, in Barcelona, Spain.The name Milan (pronounced MEE-lahn), means dear, loving and gracious in Slavic; in Ancient Roman, eager and laborious; and in Sanskrit, unification.”

Baba wa mtoto huyo ni mchezaji wa FC Barcelona, Gerard Piqué.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger