Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , , » TIMBULO WA "LEO WA KESHO" AINGIA BONGO MOVIE

TIMBULO WA "LEO WA KESHO" AINGIA BONGO MOVIE

tangazo

Moja ya picha ya Timbulo na Rose Ndauka wakiwa location
--------------------------

Msanii wa bongo fleva Ally Timbulo maarufu kama Timbulo ivi sasa yuko katika michakato ya kufanya movi ambayo inaitwa "Ulimwengu wa faida" lakini pia katika movi hiyo wako mastaa wengine kibao kama Mzee Chiro, Hemed PHD huku Rose Ndauka pamoja na timbulo ndo watakua wahusika wakuu katika movi hiyo.

Msanii huyo ameamua kuingia katika bongo movi baada ya  comenti nyingi sana kutoka kwa mashabiki wake kuwa anauwezo wa kufanya filamu kutokana na vipande  ambavyo huwa anaigiza katika video zake za muziki.

Harakati za bongo.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger