Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » UGOMVI WA VIONGOZI WASABABISHA KANISA LA MOREVIAN TABATA LIFUNGWE

UGOMVI WA VIONGOZI WASABABISHA KANISA LA MOREVIAN TABATA LIFUNGWE

tangazo

Katika hali isiyo ya kawaida jeshi la polisi mkoa wa Ilala jijini Dar es salaam limelazimika kupiga kambi katika eneo lililopo kanisa la Morovian Tanzania jimbo la mashariki usharika wa Tabata, kutokana na uwepo wa mgogoro wa uongozi wa kanisa hilo jambo lililowafanya waamini wa kanisa hilo kushindwa kufanya ibada kama ilivyo ada baada ya upande mmoja wa uongozi kufunga milango ya Kanisa hilo na kuondoka na funguo.

VIDEO  ...
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger