Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » VIDEO YA KIM KARDASHIAN ALIPOITIKISA IVORYCOAST....

VIDEO YA KIM KARDASHIAN ALIPOITIKISA IVORYCOAST....

tangazo

Mwaka huu mji mkuu wa Ivory Coast, Abidjan umekuwa na bahati ya kutembelewa na mastaa wa Marekani ambapo mwanzoni kabisa mwa mwezi huu Chris Brown na Rihanna walikuwa huko kuhudhuria tuzo za Kora. 

Na sasa mrembo anayezungumzwa zaidi kwenye internet, Kim Kardashian ameenda kutalii kwenye mji huo. Kim alithibitisha taarifa hiyo kupitia Twitter kwa kuandika:
kim africa
Amekwenda huko kwenye hafla ya uzinduzi wa simcard ya Ma Life ya mtandao wa simu wa Orange itakayofanyika leo jioni.

Kabla ya kwenda nchini humo Kim na mpenzi wake Kanye West ambao hivi karibuni walitangaza kutarajia mtoto walikuwa wote jijini Paris.

VIDEO....
 
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger