Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » MIKANDA YA NGONO YA KIM KARDASHIAN YANUSURIKA KUUNGUA MOTO

MIKANDA YA NGONO YA KIM KARDASHIAN YANUSURIKA KUUNGUA MOTO

tangazo

Mikanda ya ngono ya mama mtoto mtarajiwa wa Kanye West, Kim Kardashian, inayojulikana sana kwa jinsi ilivyotangazwa kwa jina la ‘Kim K Superstar’ imenusurika kuteketea kwa moto huko Los Angeles baada ya moto mkubwa kuzuka katika makao makuu ya kampuni inayozalisha mikanda hiyo ‘ Vivid Entertainment’.


Ripoti zilizotelewa na TMZ zinasema master version na mikanda mingine ya watu maarufu ilinusurika pia na ilikuwa imetunzwa kwenye ofisi ya kiongozi wa Kampuni hiyo Steve Hirsch, Wakati moto huo unawaka kiongozi huyo alikuwa mbali. Hirsch alipigiwa simu ya dharura na kukimbia haraka eneo la tukio.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger