Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » AFUNGWA MIEZI MIWILI KWA KOSA LA KUYACHEZEA MATITI YA MSICHANA BILA KIBALI....

AFUNGWA MIEZI MIWILI KWA KOSA LA KUYACHEZEA MATITI YA MSICHANA BILA KIBALI....

tangazo

Bwana abdulkareem mwenye umri wa miaka 36 amehukumiwa kifungo cha miezi miwili jela baada ya kupatikana na kosa la kuyachezea matiti ya Julliet pasipo kibali chake......

Msemaji wa polisi aliieleza mahakama ya Karu nchini Kenya  kuwa, siku ya tarehe 19 mwezi huu wa tatu  majira ya saa  tatu asubuhi, Jully alikuwa  bafuni anaoga .Wakati akitoka bafuni, bwana abdul  ambaye ni mpangaji mwenzie alimvamia na kuanza kumchezea matiti yake bila kibali.....

Baada ya shitaka hilo, Hakimu wa mahakama hiyo alimtaka bwana Abdul ajitetee.....

Mtuhumiwa alikiri kutenda kosa hilo na kuiomba mahakama imsamehe  kwa kuwa aliteleza na halikuwa kusudi lake.....

Baada ya utetezi huo, hakimu aliamuru Abdul afungwe miezi miwili ili liwe fundisho


TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger