Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » CHADEMA NA POLISI WAKUBALIANA KUSITISHA MAANDAMANO

CHADEMA NA POLISI WAKUBALIANA KUSITISHA MAANDAMANO

tangazo
CHADEMA wamekubalina na Jeshi la Polisi Tanzania kusitisha maandamano yaliyokuwa yafanyike kesho tarehe 25/03 kushinikiza kujiuzulu kwa Mawaziri wa Elimu.

Upande wa CHADEMA kwenye mazungumzo hayo umewakilishwa na Mwenyekiti wa Taifa Freeman Mbowe na ule wa polisi umewakilishwa na IGP Said Mwema. Pande mbili zimeafikiana kukutana tena ndani ya siku 14 kwa ajili ya kuboresha mahusiano ya pande mbili.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger