Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » DREVA TAX AFUNGWA NA POLISI NYUMA YA GARI LAO NA KUBURUZWA HADI KUFA...

DREVA TAX AFUNGWA NA POLISI NYUMA YA GARI LAO NA KUBURUZWA HADI KUFA...

tangazo
Dereva Tax aitwaye Mido Macia, 27 raia wa Msumbiji alifariki Dunia huko Afrika Kusini baada ya kutendewa unyama na polisi kwa kufungwa nyuma ya gari na kuburutwa hadi kufa. Hii ni baada ya kijana huyo kuegesha gari yake sehemu isiyo ruhusiwa. 


Baadae alifariki baada ya kupata ya kichwa na kutokwa damu nyingi akiwa mahabusu.
 
Tukio hili lilitokea mchana mbele ya watu waliokua wakishangaa na wengine kurekodi.
Tulonge
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger