Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , » "GIRLS IN THE MOOD"... FILAMU YA BONGOMOVIE YENYE VISHAWISHI VYA NGONO.

"GIRLS IN THE MOOD"... FILAMU YA BONGOMOVIE YENYE VISHAWISHI VYA NGONO.

tangazo

Maendeleo ya kiwanda cha filamu kwa Tanzania ni kama yanatumia nguvu ya ziada kuamsha hisia za watu kupenda filamu hizo hususani kwa vijana baada tu ya kuonekana kwa kava ya filamu ya Girls in the mood kama uionavyo hapo juu.

 
 Hayo yalizungumzwa na baadhi ya watu waliokuwa wakichangia mada mbalimbali kuhusiana na filamu hiyo hasa muonekano wake wa mbele wa kava ambalo linawaonesha wakinadada kwenye hali ya usiri zaidi hivyo kuchochea hali ya ngono kwa vijana.!! 

kizobrax


TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger