Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » HUYU NDIYO MTOTO WA MIAKA 8 ALIYEFUNGA NDOA NA JIMAMA LA MIAKA 61

HUYU NDIYO MTOTO WA MIAKA 8 ALIYEFUNGA NDOA NA JIMAMA LA MIAKA 61

tangazo

MWANAFUNZI wa kiume mwenye umri wa miaka minane amemuoa mama mwenye umri wa miaka 61.

Kijana huyo Sanele Masilela alisimama mbele ya watu 100 na kufunga ndoa na Bi Shabangu, mama mwenye watoto watano .


Wawili hao walivalishana pete na kupeana mabusu motomoto Katika sherehe zilizofanyika Tshwane nchini Afrika Kusini, huku Sanele akidai mizimu ya mababu zake walimuamuru afunge ndoa hiyo.




Hata hivyo ‘wana ndoa’ hao hawakusaini cheti cha ndoa na wala hawaishi pamoja. 

Selele alisema: “Nilimwambia mama yangu kuwa nataka kuoa, nina furaha kumuoa Hellen”.

Familia ya Selele imesema ndoa hiyo ni ya kiibada (kijadi) tu na wala siyo ya kisheria.

Mama wa Selele mwenye umri wa miaka 46 alisema babu wa mwanae alimtaka mjukuu wake aoe kabla hajafariki na akamchagua Hellen kwa kuwa alimpenda.

“Kwa kufanya hivyo mizimu ilifurahi. Kama asingetii basi jambo baya lingetokea kwenye familia."

TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger