Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , , » LADY JAYDEE, AY NA COLLO WAMETOKA MBALI

LADY JAYDEE, AY NA COLLO WAMETOKA MBALI

tangazo
Ukiwaona wanashine mjini wakiwa na miradi mingi na ya nguvu usidhani walifanikiwa kwa siku moja, wamehustle sana. Hii ni picha waliyopiga Lady Jaydee, AY na rapper Collo wa Kenya kwenye tuzo za Kora mwaka 2005 jijini Durban, Afrika Kusini.
 




Collo ametweet picha hiyo na kuandika: gud times we had.We still got it.Let’s take it 2 a whole new level.
Katika hatua nyingine AY na Collo wapo kwenye mkakati wa kufanya kitu kikubwa kama Collo alivyotease kwa Jide,” muhimu…I’ve missed yoll. we planning for somfin wit @AyTanzania …he shud keep u in the loop.”
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger