Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » KIONGOZI WA KIISLAM WA BANGLADESH AHUKUMIWA KIFO....

KIONGOZI WA KIISLAM WA BANGLADESH AHUKUMIWA KIFO....

tangazo

Mahakama ya Uhalifu wa Kmataifa ya Bangladesh imemhukumu adhabu ya kifo kiongozi wa kiislamu Delwar Hossain Sayedee, baada ya kumkuta na hatia ya uhalifu dhidi ya ubinadamu, alioutenda wakati wa vita vya kupigania uhuru mwaka 1971.
 
Sayedee ambaye alikuwa Makamu Mwenyekiti wa chama cha Jamaat-e-Islami wakati huo, alikuwa akituhumiwa kuamuru mauaji ya halaiki, ubakaji na mateso mengine yaliyofanywa wakati wa vita hivyo.
 
Wakili wake amesema kesi dhidi ya mteja wake ilikuwa na ushawishi wa kisiasa na imekiuka kwa kiasi kikubwa maadili ya haki.
 
Watu zaidi ya 20 wamekufa katika ghasia zilizofuatia kutolewa kwa hukumu hiyo.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger