Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , » RIHANNA NA CHRIS BROWN WAFIKIRIA KUPATA MTOTO

RIHANNA NA CHRIS BROWN WAFIKIRIA KUPATA MTOTO

tangazo

Wiki kadhaa baada ya kurudiana, huenda Rihanna na Chris Brown wakaupeleka uhusiano wao mbele zaidi kipindi hiki, kwa kuwa na familia na watoto.
 



Rihanna ameliambia jarida la ELLE UK kuhusu mwanzo mpya wa mahusiano yake na Chris.Kuhusu mipango ya kuwa na watoto anasema:

“Bila shaka ntakuwa na mtoto. Na nasali niweze kwenda mapumziko kwa mwezi mmoja mzuri. Na nimejiwekea mambo fulani hivyo sina haja ya kufanya tour katika maisha yangu yote yaliyobaki hata kama napenda kufanya tour. 

Nataka afya na furaha katika miaka mitano. Nataka kuwa mwenye afya na mwenye furaha.”

TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger