Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » HII NDO AIBU YA ZITTO KABWE NA HALIMA MDEE

HII NDO AIBU YA ZITTO KABWE NA HALIMA MDEE

tangazo


Wakati Bunge la Tanzania likiendelea kufukuta kwa  vurugu na kauli za matusi na dharau, Wabunge hawa  Zitto Kabwe na Halima Mdee wamefunguka juu ya mambo yanayoendelea bungen kupitia mitandao ya kijamii  na  kudai  kuwa  na  aibu  isiyoelezeka.

Wanadai kuwa Bunge  limekosa  mwelekeo  na  kwamba  kwa  sasa   hawaoni  haja  ya  kuendelea  kuitwa  wabunge


TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger