Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » MSANII "SIZE 8 " AAMUA KUOKOA NA KUACHANA NA MUZIKI WA KIDUNIA

MSANII "SIZE 8 " AAMUA KUOKOA NA KUACHANA NA MUZIKI WA KIDUNIA

tangazo

Mwanamuziki wa kike wa nchini Kenya, Linet Munyali aka Size 8 ametangaza kuachana na muziki wa dunia baada ya kuokoka. 


Kuanzia sasa msanii huyo atakuwa akiimba nyimbo za injili na leo ameachia video ya wimbo wake wa kwanza wa gospel, Meteke.

Size 8 ni msanii mwenye mafanikio makubwa nchini Kenya na amekuwa akitafutwa zaidi kufanya show kuliko msanii mwingine wa kike nchini humo. Ukimtoa Avril, hakuna msanii mwingine wa kike aliyeweza kushindana naye.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger