BREAKING NEWS: ALBERT MANGWEA AFARIKI DUNIA....
tangazo
Habari zilizotufikia ni kwamba msanii Albert Mangwair amefariki dunia akiwa Afrika kusini
Chanzo cha kifo hicho bado hakijafahamika lakini taarifa za awali zinadai kuwa msanii huyo hakuamka tangu alipolala .
Mtandao huu unaendelea kuifuatilia habari hii
R.I.P Ngwair
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK