Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » RAIS KIKWETE AWATAKA VIONGOZI WA DINI WAENDELEE KUHUBIRI AMANI, UPENDO NA MSHIKAMANO

RAIS KIKWETE AWATAKA VIONGOZI WA DINI WAENDELEE KUHUBIRI AMANI, UPENDO NA MSHIKAMANO

tangazo
Rais Jakaya Kikwete amewataka viongozi wa dini nchini kuendelea kuhubiri kuhusu amani upendo na mshikano na kuendelea kuwajenga vijana katika maadili mema ili taifa lisiangamie.

Rais kiwete ameyasema hayo Mkoani Morogoro katika Jubilee ya miaka 25 ya uaskofu wa Askofu Telesphori Mkude wa Kanisa Katoliki Jimbo la Morogoro ambapo amesema serikali itaendela kushirikiana na kanisa katoliki katika mambo mbalimbali kwa manufaa ya watanzania wote
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger